Quantcast
Channel: Mwanafasihi Mahiri
Browsing latest articles
Browse All 517 View Live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA MKUU WA MKOA WA MBEYA AMOS MAKALLA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla akiwa na Katibu Tawala wa mkoa Mariam MtungujaTANGAZOMkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla anawatangazia wakazi wa mkoa wa Mbeya kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI ILIYODAIWA ‘KURAMBA’ MILIONI 50 YASHINDWA KUKOMBOA VITANDA VYA...

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya IyungaMkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla akimkabidhi vitanda kwa ajili ya mabweni ya wanafunzi yaliyoteketea kwa moto Mwenyekiti wa Bodi ya shule ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUKUMU YA MUUAJI WA MWANGOSI, POLISI UTULIVU NI ZERO

BAADHI ya askari Polisi waliokuwepo ndani ya chumba cha Mahakama Kuu Kanda ya Iringa wakati askari mwenzao Pacificius Cleophace Simoni akitiwa hatiani kwa kosa la mauaji ya bila kukusudia ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE MBEYA ACHANGIWA KUPIGWA NA WALIMU

Majeraha yanayotokana na kipigo kinachodaiwa kusababishwa na walimu waliompiga mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Malama mkoani Mbeya.Muuguzi Mkuu msaidizi wa Hospitali Teule ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIB CORPORATE BANK YASAIDIA MILIONI 10 MADAWATI MKOANI MBEYA

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla akipokea mfano wa hundi ya sh..mil 10 kwa ajili ya mchango wa madawati mkoani MbeyaMkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla akitoa neno la shukurani baada ya kupokea msaada...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUPATWA KWA JUA KWAKUSANYA WATU WA MATAIFA MBALIMBALI WILAYANI MBARALI

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla na Mkuu wa mkoa wa Songwe Luteni Kanali Chiku Gallawa wakiangalia Kupatwa kwa Jua eneo la Rujewa wilayani Mbarali mkoani Mbeya leo asubuhi Jua limepatwa leo kuanzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAJIBU HOJA MUSWADA WA SHERIA UPATIKANAJI WA TAARIFA

#Muswada wa Sheria ya Upatikanaji wa Taarifa utasaidia kuongeza uwajibikaji katika kutoa taarifa juu ya miradi ya maendeleo katika eneo husika.#Sheria hii itaondoa urasimu wa utoaji wa taarifa katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROFESHA LIPUMBA ADAI MAALIM SEIF NI MSALITI

Prof Lipumba akiteta jambo na aliyekuwa Mgombea Urais kwa vyama vinavyounga UKAWA Edward Lowassa Aliyekuwa Katibu Mkuu wa OAU Dkt Salim Ahmed SalimaProf Lipumba,(CUF) Dkt Slaa(CHADEMA) na Mwigulu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAISLAMU MBEYA WAASWA KUJENGA UMOJA NA MSHIKAMANO

Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu Jijini Mbeya wakiwa katika ibada ya swala ya Eid El Haj kwenye uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine Jijini Mbeya.Ustadh idd Omar Pembe akiwahutubia waumini wa dini ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO AACHA MASOMO ILI KUWASAIDIA WAZAZI WAKE WANAOFANYA VIBARUA MASHAMBANI

Mtoto Said(9) mkazi wa Suluti wilaya ya Namtumbo akiandaa chakula cha mchanaMaandalizi ya ugali kwa ajili ya chakula cha mchana yanayofanywa na mtoto Said mkazi wa Suluti wilaya ya NamtumboUgali kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAISHA YA KILA SIKU VIJIJINI

Huduma mbalimbali za kijamii na mahitaji ya maji safi na salama ni moja kati ya mambo muhimu yanayohitajika katika jamii ya wananchi waishio vijijini, pichani ni baadhi ya wakazi wa wilaya ya Namtumbo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENYEJI WAYAAGA MASHINDANO YA KUCHANGIA UGONJWA WA KISUKARI ZANZIBAR

Mratibu wa michuano ya maadhimisho ya siku ya Kisukari Duniani  Waziri Mohamed Ngwangwa akimuomba katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Juma Malik  Akili kuzikagua timu ya Wizara ya Kazi na Wizara ya Afya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MINAZI NA KOROSHO KUWA ZAO LA KIBIASHARA WILAYA YA NAMTUMBO

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Christopher KilunguMinazi zao ambalo Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo inataka kulifanya kuwa ni zao la biasharaMbali na minazi yapo mazao mengine ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC NAMTUMBO ATOA SOMO KWA WAKAZI WA WILAYANI KWAKE

Mkuu wa wilaya ya Namtumbo Luckiness Amlima akisikiliza kero kutoka kwa mmoja wa wananchi wa mji wa Namtumbo alipozungumza na wananchi mwishoni mwa wiki.Mkuu wa wilaya ya Namtumbo Luckiness Amlima...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHITAKIWA WA KUCHOMA KUR ANI AANGUKA KIZIMBANI

Washitakiwa wa kesi ya kuchoma Kor an tukufu wakiingia katika mahakama ya hakimu mfawidhi wa wilaya ya Namtumbo kwa ajili ya kusomewa mashtaka ya kosa linalowakabiliMshitakiwa nambari moja wa kosa la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSHITAKIWA MWINGINE WA KUCHOMA KORAN ADAIWA KUANGUKA KIFAFA, KESI KUANZA...

Mmoja wa washitakiwa akiwa ameanguka chini mahakamani kabla ya kuahirishwa kesi kwa mara ya kwanza, kesi inayowahusu imamu na mganga wa kienyeji wakishtakiwa kwa uchomaji wa Koran TukufuBaadhi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ANSWAR SUNNA BAKWATA WAUNGANA

Baadhi ya waumini wa Kiislamu wilaya ya Namtumbo wakishiriki kwa pamoja kulima shamba kwa ajili ya kupanda Ufuta na MbaaziBaadhi ya akina mama wa Kiislamu wakiandaa chakula cha mchana wakiwa shambani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUYU NDIYE ANTONY LUSEKELO (MZEE WA UPAKO)NILIYEMFUNDISHA KARATE 'GOJU RYU'...

Mchungaji Antony Lusekelo( Mzee wa Upako) niliyemfahamu kwa jina la SEKELO enzi hizo Wacheza Karatee aina ya GoJu Ryu wakiwa katika stence kujiandaa na shambuliziBaadhi ya wacheza Karate aina ya GoJu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAA LA NJAA LAINYEMELEA NAMTUMBO

Mche wa mahindi ulionyauka kwa kukosa mvua eneo la Likonde NamtumboMkulima Ayubu Makuti wa eneo la Migelegele Namtumbo akiangalia shamba lake la mahindi lililoathiriwa na jua baada ya kukosa mvua kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GOLIKIPA DAVID BURHANI AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa Golikipa wa kutegemewa wa timu za Majimaji ya Songea,Prison na Mbeya City za Jijini Mbeya na hatimaye timu ya Kagera Sugar DAVID ABDALLAH BURHAN amefariki dunia leo asubuhi katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI KIFO CHA MKE WA DKT. MWAKYEMBE

TANZIA!!!Rais Dkt Magufuli akiweka saini kitabu cha Maombolezo kifo cha Mke wa Dkt Mwakyembe Kulia ni Mke wa Dkt. Mwakyembe Linna George Mwakyembe enzi za uhai wakeRais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MRS MWAKYEMBE WAWASILI MBEYA JIONI HII, MSAFARA KUELEKEA KYELA

Viongozi wa serikali wa mikoa ya Mbeya na Songwe mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla na Mkuu wa mkoa wa Songwe Chiku Galawa na Katibu Tawala mkoa wa Mbeya Mariam Mtunguja wakiweka sawa taratibu na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA AONGOZA MAZISHI YA MKE WA DKT MWAKYEMBE KYELA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiweka shada la maua kwenye kaburi la mke wa Dkt Harrison Mwakyembe, Linah Mwakyembe leo mchana nyumbani kwa marehemu kijiji cha Ikolo wilayani Kyela mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SOKO LA SIDO JIJINI MBEYA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO JANA USIKU

Eneo la Soko la SIDO jijini Mbeya lilivyokuwa likiteketea kwa moto jana usiku Soko la SIDO Mbeya lilivyokuwa likiteketea kwa moto jana usiku

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NaViNjArI TaNzANiA- NILIPOTEMBELEA RAFIKI ZANGU WA KIMAASAI

Nipo na rafiki zangu jamii yaWamaasai tukibadilishana mawazoNimetembelea rafiki zangu jamii ya Wamaasai na kuzungumza nao mengi yahusuyo maendeleo ya jamii yao

View Article

Browsing latest articles
Browse All 517 View Live