Quantcast
Channel: Mwanafasihi Mahiri
Viewing latest article 7
Browse Latest Browse All 517

SERIKALI YAJIBU HOJA MUSWADA WA SHERIA UPATIKANAJI WA TAARIFA

$
0
0


#Muswada wa Sheria ya Upatikanaji wa Taarifa utasaidia kuongeza uwajibikaji katika kutoa taarifa juu ya miradi ya maendeleo katika eneo husika.

#Sheria hii itaondoa urasimu wa utoaji wa taarifa katika ofisi za umma.

# Muswada huu unakidhi matakwa ya Katiba ya haki na wajibu kwa wananchi kupata taarifa.

#Muswada huu haukusudii kuficha taarifa zinazohitajika na mtafuta taarifa.

# Muswada huu utasaidia kuwa na utaratibu maalumu wa wananchi kupata taarifa.

# Muswada huu hauzuii haki ya mwananchi yeyote kupata taarifa kwa njia tofauti.

#Muswada huu unaongeza wigo kwa *waandishi wa habari* kwani nao wanahaki ya kupata taarifa.

#Muswada huu unalenga kupanua wigo wa upatikanaji taarifa ili kutekeleza matakwa ya Katiba.

*Imeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO*
*Dodoma*


Viewing latest article 7
Browse Latest Browse All 517

Latest Images

Trending Articles